Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada kuhusu Mtazamo wa kikaguzi kutoka kwa Mkaguzi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Athuman Mbuttuka katika semina iliyofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC),wakifuatilia mada kuhusu Mtazamo wa kikaguzi kutoka kwa Mkaguzi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Ndugu Athuman Mbuttuka katika semina iliyofanyika Mkoani Singida kwa ajili ya kuwajengea uwezo wajumbe hao.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa Mary Chatanda akichangia hoja katika semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati hiyo, iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi na kufanyika Mkoa wa Singida.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...