Kikosi cha timu ya Taifa chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wake wa raundi ya kwanza ya kuitafuta tiketi ya kucheza fainali za vijana za Africa dhidi ya Congo mchezo utakaochezwa Machi 31, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa.
Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na Morocco ,mchezo utakaochezwa Machi 17, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. 
Mchezo huo ni wa kujiandaa na mchezo wa kuitafuta tiketi ya kucheza fainali za Africa kwa Vijana dhidi ya DR Congo utakaochezswa Machi 31, 2018. 
Morocco wanatarajia kutua Tanzania Machi 14,2018 ikiwa na msafara wa watu 31 wanaojumuisha wachezaji 23 na viongozi 8 wa benchi la ufundi. 

Mchezo huo utachezwa saa 10 jioni.
Kikosi kilichoingia kambini makao Makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Machi 6, 2018 ni wachezaji 40 ambao watapunguzwa na kubaki wachezaji 30 baada ya kumalizika wiki ya kwanza ya mazoezi.

Kikosi kilichoingia kambini: 
1.Ramadhan Kabwili(Young Africans), 2.Abutwarib Mshedi(Mtibwa), 3.Johny Kwiyenda(Makongo), 4.Ally Salim (Simba)
5.Kibwana Ally Shomari(Mtibwa), 6.Ally Hussein Msengi(Mbao)
7.Enrick Vitalis Nkosi(African Lyon), 8.Dikson Job(Mtibwa)
9.Assad Juma(Singida United), 10.Said Mussa Bakary(Young Africans)
11.Ally Ng’anzi(Singida United), 12.Kelvin Nashin Naftal(JKT Tanzania)
13.Shaban Ada(Lipuli), 14.Issa makamba(Singida United)
15.Mohamed Rashid(Singida United), 16.Marko Gerald(JMK)
17.Syprian Mtesigwa(Dodoma FC), 18.Muhsin Makame(Njombe Mji)
19.Yohana Mkomola(Young Africans), 20.Ibrahim Abdallah (Miembeni City) na 21.Abdul Suleiman(Ndanda).
Wengine ni: 22.Nickson Kibabage(Njombe Mji) ,23.Mussa Najimu(Changanyikeni),24.Maziku Aman(Makongo), 25.Hamis Mustafa(Ndanda), 26.Samson Myati(Toto Africans)
27.Said Mohamed(Azam FC), 28.Ayoub Mohamed(Young Africans)
29.Mohamed Mussa(Azam FC), 30.Emanuel Myati(Tz Prisons)
31.Riffat Hamis(Mtibwa), 32.Oscar Masai(Azam FC)
33.Paul Peter(Azam FC), 34.Vitalis Mayanga(African Lyon) na35.Rajab Mohamed(Azam FC).
Wengine ni: 36.Pontia Ohonya, 37.Maka Anthony(Young Africans)
38.Israel Mwenda(Alliance), 39.Hance Msonga(Alliance) na 40. Moses Kitandu(Simba)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...