Ungana pamoja nasi katika usiku wa kipekee tukila, kunywa na kuburudika katika 2018 Nuru Ya Afya Fundraising Masquerade Ball inayoletwa kwenu na TAHMEF (Tanzania Health and Medical Education Foundation)
Ili kuunga juhudi za kuboresha afya ya uzazi na upatikanaji wa huduma za bima ya afya kwa watanzania.
MGENI RASMI: Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,Jinsia,wazee na Watoto, Mheshimiwa DK. FAUSTINE NDUGULILE
Usisite kuwasiliana nasi kujipatia tiketi na maelezo zaidi kupitia:
Simu: +255 656 597 434, +255 768 326 387
Tovuti: www.tahmef.or.tz
#NuruYaAfya #600lives



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...