Sehemu ya wanawake wakiwa kwenye
maandamano wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo
kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Kange Jijini Tanga
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine
Shigella katika akipokea maandamano ya wanawake wakati wa maadhimisho ya
siku yao kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi
kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine
Shigella kushoto akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa benki ya Amana
wakati alipotembelea banda lao kwenye maadhimisho hayo wa kwanza kushoto
ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (Ras) Mhandisi Zena Saidi
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine
Shigella akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi
wakiangalia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akizungumza katika maadhimisho hayo. Kwa habari kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...