Sehemu ya wanawake wakiwa kwenye maandamano wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Kange Jijini Tanga
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella katika akipokea maandamano ya wanawake wakati wa maadhimisho ya siku yao kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella kushoto akipata maelezo kutoka kwa maafisa wa benki ya Amana wakati alipotembelea banda lao kwenye maadhimisho hayo wa kwanza kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (Ras) Mhandisi Zena Saidi

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi wakiangalia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella akizungumza wakati wa maadhimisho hayo
 Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akizungumza katika maadhimisho hayo.  Kwa habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...