Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Chakula kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Elimpaa Kiranga akitoa hotuba kwa niaba ya Waziri Dk Charles Tizeba wakati akizindua programu ya miaka mitano ya Shirika la WE EFFECT Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam Machi 12, 2018. wenye lengo la kukuza maendeleo Vijijini na kuchangia katika kupunguza umasikini kwenye kilimo hapa nchini.

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Bi. Katarina Rangnitt akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu ya miaka mitano ya Shirika la WE EFFECT uliofanyika jijini Dar es Salaam Machi 12, 2018. wenye lengo la kukuza maendeleo Vijijini na kuchangia katika kupunguza umasikini hapa Tanzania.
Mkurugenzi wa Shirika la WE EFFECT Kanda ya Afrika Mashariki,Bwana. Hans Lind akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi.
Mwakilishi kutoka Shirika la WE EFFECT Tanzania, Bi. Nasieku Kissambu akielezea utekelezaji kwa makundi mbalimbali kwa wakulima na miradi wakati wa uzinduzi wa programu ya miaka mitano ya Shirika la WE EFFECT Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam Machi 12, 2018. wenye lengo la kukuza maendeleo Vijijini na kuchangia katika kupunguza umasikini kwenye kilimo hapa nchini..
Wadau kutoka sekta mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...