Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Rufaa, Mhe. Semistocles Kaijage wametembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika eneo la Njedengwa mkoani Dodoma.

Mara baada ya kuwasili katika eneo la Mradi na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo wajumbe hao wameonyesha kutoridhishwa na kasi ya ujenzi ya Wakala wa Majengo nchini Tanzania (TBA) wanaojenga jengo hilo na kuwataka waukamilishe mradi huo kwa wakati kama ilivyopangwa.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...