Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na baadhi ya wanafunzi wanaojifunza ushonaji katika kiwanda cha ushonaji kilichopo katika Bohari Kuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya ghafla kiwandani hapo ili kuona utendaji wao.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiangalia namana askari wa Jeshi hilo wakitekeleza majukumu yao kwa kushona sare za Jeshi hilo katika kiwanda cha ushonaji kilichopo katika Boharia Kuu ya Polisi jijini Dar es salaam wakati alipofanya ziara ya ghafla kiwandani hapo ili kuona utendaji wao. Picha na Jeshi la Polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...