Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa Kituo cha Polisi Mikumi mkoani Morogoro leo, wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi, ambapo aliwakumbusha askari wajibu wao wa kufanyakazi kwa kufuata sheria na taratibu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akitoa maelekezo kwa kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro Ulrich Matei, wakati akizungumza na askari wa Kituo cha Polisi Mikumi mkoani Morogoro leo, ambapo aliwakumbusha askari wajibu wao wa kufanyakazi kwa kufuata sheria na taratibu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na wadau welevu wa Jeshi hilo wanaojenga ofisi za kituo cha Polisi Usalama barabarani Mikumi mkoani Morogoro leo, wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...