Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Julius Chambo akifafanua jambo kwenye hafla ya ufungaji wa Mafunzo ya tathmini na usimamizi wa athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara kwa mafundi sanifu yanayofanyika mkoani Morogoro.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya tathmini na usimamizi wa athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara wakifuatilia hotuba ya ufungaji wa mafunzo hayo iliyotolewa na Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Julius Chambo.
Mhitimu wa mafunzo ya tathmini na usimamizi wa athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Julius Chambo mara baada ya kuhitimu mafunzo hayo.
Mwakilishi wa wahitimu wa mafunzo ya tathmini na usimamizi wa athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara, Bw. Seth Rengia akiwasilisha maoni ya wahitimu wa mafunzo hayo kwa mgeni rasmi.
Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Julius Chambo (wa tatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya tathmini na usimamizi wa athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara yanayofanyika mkoani Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...