Rais wa shirikisho la vyama huru vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Tumaini Vyamhokya katikati akiongoza kuimba wimbo wa wafanyakazi wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoa wa Iringa kuelezea maandalizi ya Mei Mosi kitaifa yatakayofanyika mkoani Iringa |
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela kulia akiwapongeza viongozi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi |
Wajumbe wa TUCTA wakiimba wimbo wa wafanyakazi leo |
Wimbo wa kuwaunganisha wafanyakazi |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...