Vyombo vya habari,mitandao ya kijamii imeonekana kuwa na mchango mkubwa katika jamii kutokana na uwezo wa kufikisha ujumbe kwa haraka ukilinganisha makundi mengine.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya SONGEA POLOLET MGEMA wakati wa mafunzo kwa wataalamu watakaoenda kutoa chanzo kwa ajili ya kinga dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wa watoto wa kike mwenye umri wa miaka 9 hadi 14 ambayo hufanyika leo mkoani Ruvuma na Tanzania kwa ujumla.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...