Mkuu wa Chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi, Yussuf Haji Makame akitoa elimu kwa waandishi wa habari ( hawapo pichani) namna saratani hiyo inavyoathiri katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Mwandishi wa TIFU TV akiuliza masuala katika Mafunzo hayo.
Mfanyakazi kutoka Wizara ya Afya Zanzibar, Abdulrahman Muhamed Saleh akijibu maswali ya waandishi wa habari (Picha na Abdalla Omar Habari – Maelezo).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...