Muuguzi wa kituo cha Afya Madaba wilayani Songea Ponsiana Haule akimpatia chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Madaba Day wilayani Songea Happines Kinyunyu siku ya kwanza ya uzinduzi wa chanjo hiyo.
Mganga mkuu wa halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma Janeth Makoye akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kidato cha 1 hadi 3 wa shule ya sekondari Madaba Day ikiwa ni juhudi za kuwashawishgi wanafunzi hao kukubali kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi, kufuatia mgomo wa wanafunzi hao baada ya kuelezwa na wazazi wao wasikubali kupatiwa chanjo hiyo baada ya kiongozi mmoja wa dini akiwa katika ibada ya Jumapili mwishoni mwa wiki kuwataka wazazi wasikubali watoto wao kupatiwa chanjo hiyo.
Muuguzi wa kituo cha Afya Madaba wilayani Songea Ponsiana Haule akimpatia chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Madaba Day wilayani Songea Happines Kinyunyu siku ya kwanza ya uzinduzi wa chjanjo hiyo.PICHA NA MUHIDIN AMRI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...