Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (wa tatu kushoto) akizungumza jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) Fred Kafeero (katikati) na Mwakilishi Shirika la Misaada la Marekani (USAID), Dk. Patrick Swai wkati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa chanjo ya Kichaa cha mbwa kwa kwa ajili ya kuzuia ugonjwa huo kwa Wilaya ya Moshi iliyopo mkoani Kilimanjaro, ambayo imeripotiwa kuwa na tatizo hilo hivi karibuni. Hafla hiyo imefanyika wizarani hapoleo Aprili 30 2018 jijini Dar es Salaam. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogs)

Kiongozi wa Timu wa FAO, Florunso Fesina akitoa mada kuhusu utafiti uliofanywa na shirika hilo kwa madhara yasababiswayo na mifugo kutopewa chanjo hasa mbwa na paka wakati wa hafla ya shirika hilo kukabidhi msaada wa chanjo ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa kwa wizara ya Mifugo na uvuvi jjini Dar es Salaam leo.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na kilimo Duniani (FAO) Fred Kafeero (wa tatu kulia) na Mwakilishi shirika la Misaada la Marekani (USAID), Dk. Patrick Swai (wa pili kulia) wakionesha moja ya bango litakalotumika wakati wa tiba na na chanjo katika hafla ya kukabidhi msaada wa chanjo ya Kichaa cha mbwa kwa Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (wa tatu kushoto) kwa ajili ya kuzuia ugonjwa huo kwa Wilaya ya Moshi iliyopo mkoani Kilimanjaro, ambayo imeripotiwa kuwa na tatizo hilo hivi karibuni. Hafla hiyo imefanyika wizarani hapo jana jijini Dar es Salaam. Pamoja nao ni watendaji waandamizi wa wizara

Sehemu ya washiriki wa hafla hiyo wakifuatilia mada.

Kiongozi wa Timu wa FAO, Florunso Fesina akitoa mada kuhusu utafiti uliofanywa na shirika hilo kwa madhara yasababiswayo na mifugo kutopewa chanjo hasa mbwa na paka wakati wa hafla ya shirika hilo kukabidhi msaada wa chanjo ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa kwa wizara ya Mifugo na Uvuvi jjini Dar es Salaam leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...