Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Halotel Mhina Semwenda, akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Duka jipya na la kisasa la Halotel lililoko Kinondoni, Shoppers Plaza – Mikocheni, ambalo litawawezesha wateja wa Mtandao huo walioko maeneo ya Mikocheni, Msasani na maeneo jirani na hayo kupata huduma mbalimbali kama kusajili laini mpya, huduma za kifedha,kurejesha namba iliyopotea,vifaa vya mawasiliano na huduma nyingine nyingi kwa urahisi na kwa gharama nafuu.
002: Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Halotel Mhina Semwenda (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Duka jipya na la kisasa la Halotel lililoko Kionondoni, Shoppers Plaza – Mikocheni, ambalo litawawezesha wateja wa Mtandao huo walioko maeneo ya Mikocheni, Msasani na maeneo jirani na hayo kupata huduma mbalimbali kama kusajili laini mpya, huduma za kifedha,kurejesha namba iliyopotea,vifaa vya mawasiliano na huduma nyingine nyingi kwa urahisi na kwa gharama nafuu
Burudani ikitolewa mara baada ya uzinduzi wa duka hilo jipya na la kisasa la Halotel lililopo Kionondoni, Shoppers Plaza – Mikocheni,jijini Dar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...