Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dk. Amos Nungu akizungumza juu ya wiki ya Ubunifu kwa vijana iliyoandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa kushirikiana na UKaid
 Mwakilishi wa  Mfuko wa Msaada wa Serikali ya Uingereza UKaid, Berthy Arthy akizungumzia  ufadhili wa UKaid Katika wiki ya ubunifu itakayofanyika COSTECH. Kuanzia Mei 21.
 Kiongozi Mkuu wa HDIF Tanzania, David McGinty, akieleza namna Vijana ya ushiriki wa Vijana zaidi ya 2000 katika Wiki ya ubunifu  itakayofanyika Costech kuanzia Jumatatu.
 Mtaalamu wa Masuala ya Mawasiliano Kutoka Taasisi ya HDIF, Hannah Mwandoloma akitoa maelezo ya ziada kwa Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Waandishi wa Habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...