Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dk. Amos Nungu akizungumza juu ya wiki ya Ubunifu kwa vijana iliyoandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa kushirikiana na UKaid
Mwakilishi wa Mfuko wa Msaada wa Serikali ya Uingereza UKaid, Berthy Arthy akizungumzia ufadhili wa UKaid Katika wiki ya ubunifu itakayofanyika COSTECH. Kuanzia Mei 21.
Kiongozi Mkuu wa HDIF Tanzania, David McGinty, akieleza namna Vijana ya ushiriki wa Vijana zaidi ya 2000 katika Wiki ya ubunifu itakayofanyika Costech kuanzia Jumatatu.
Mtaalamu wa Masuala ya Mawasiliano Kutoka Taasisi ya HDIF, Hannah Mwandoloma akitoa maelezo ya ziada kwa Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Waandishi wa Habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...