Prof Mark Mwandosya akionesha samaki aina Mbasa (Opsaridium microlepis),waliovuliwa mapema leo asubuhi Matema katika Ziwa Nyasa. Prof.Mwandosya amesema kuwa aina ya Samaki huyo ni mwenye ladha nzuri kuliko wote Duniani."Samaki huyo anapatikana Ziwa Nyasa tu. Mbasa (Opsaridium microlepis), the most tasty and delicious fish in the world, is endemic to Lake Nyasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...