Mkurugenzi wa Kampuni ya Jan International Sheikh Muhmmad akisoma moja ya tiketi ya mshindi wa Bahati Nasibu iliyochezeshwa na kampuni hiyo mbele ya wateja wao mapema mwisho mwa wiki Namanga,jijini Dar,ambapo mshindi alijinyakulia gari,kulia kwake ni Meneja wa Kampuni hiyo Mohamed Shebu Omari akishuhudia
  Murugenzi wa Kampuni ya Jan International Sheikh Muhmmad akiwaonesha  wateja wao (hawapo pichani) moja ya tiketi ya mshindi wa Bahati Nasibu iliyochezeshwa na kampuni hiyo kwa Wateja wao mapema mwisho mwa wiki,Namanga Jijini Dar,ambapo mshindi alijinyakulia gari.
  Picha kulia ni baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Jan International wakimkabidhi Mshindi wa Bahati Nasibu iliyochezeshwa na kampuni hiyo,mfano wa ufunguo kwa mshindi wa tatu kulia aliyejulikana kwa jina la Young Gwang Yu
Mshindi wa Gari Young Gwang Yu akiwa na mfano wa funguo mara baada ya kutajwa kuwa mshindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa na kampuni ya Jan International mbele ya Wateja wake mbalimbali (hawapo pichani),mapema mwisho mwa wiki. Jan International ni wauzaji wa magari yaliyotumika,ambapo kwa sasa inafanya kazi katika nchi 18 Duniani ikiwemo Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...