
Mechi hizo zitachezwa kama ifuatavyo;
Lipuli vs Kagera Sugar- saa 10 kamili
Tanzania Prisons vs Singida Utd- saa 10 kamili
Ndanda vs Stand Utd- saa 10 kamili
Mtibwa Sugar vs Mbeya City- saa 10 kamili
Yanga vs Azam- saa 2 kamili usiku
Njombe Mji vs Mwadui- saa 10 kamili
Mbao vs Ruvu Shooting- saa 10 kamili
Majimaji vs Simba- saa 10 kamili
IMETOLEWA NA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...