Baadhi ya Wauguzi wa Zanzibar walioshirki  maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani wakiwa katika maandamano kuelekea Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni ambako maadhimisho hayo yalifanyika rasmi ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed.
 Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashind Mohamed akizungumza na wakunga katika maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawawkilishi la zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.
 Mwenyekiti wa Baraza la Wauguzi na Wakunga Zanzibar Bi. Amina Abdulkadir Ali akzungumza na wakunga katika maadhisho hayo yaliyofanyika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Zanzibar.
 Mwakilishi kutoka Shirika la Kimataifa linaloshughulika Idadi ya watu (UNFPA) Batula Abdi Hassan akizungumza na wauguzi walioshiriki maadhimisho ya siku ya wakunga Duniani katika Ukumbi wa Baraza la Wawawkilishi la zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.
 Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akimkabidhi cheti mmoja wa Wauguzi bora Bi. Rose Abdalla ambae ni mkufunzi mwandamizi kutoka Chuo cha Taaluma ya Sayansi za Afya ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar
Wauguzi kutoka vituo mbali mbali vya Afya Zanzibar walioshiriki maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani wakimsikiliza Waziri wa Afya (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni (PICHA NA ABDALLA OMAR – MAELEZO ZANZIBAR).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...