Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiongea kabla ya kukabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. Wanaomsikilia ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widson Mandarasi Mwanangwe. Msaada huo ni pamoja na tani 4.8 za mchele, tani 4.8 za Unga wa mahindi, tani 2.8 za sukari pamoja na tende
  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkabidhi Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. wanaoshuhudia ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widson Mandarasi Mwanangwe. 
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimsikiliza Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga akishukuru baada ya kumkabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. wanaoshuhudia ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widsob Mandarasi Mwanangwe. 
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga na askari wengine waliofika kupokea vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. 
  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiagana  na Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga baada ya kukabidhi  vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. 


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiongea na  Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widsob Mandarasi Mwanangwe,  baada ya kumkabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018.  
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu na asklari wanawake waliofika kupokea vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018.  
Picha na IKULU  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...