Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ametatua mgogoro mkubwa ambao umedumu kwa muda mrefu kati ya wakazi wa eneo la Pugu Nyamwezi na mmiliki wa eneo hilo Bibi Jeshri Rawel.

Waziri Lukuvi ametoa maamuzi ya kuwataka Wakazi wa eneo hilo ambao wamejenga katika shamba la mmiliki huyo lenye ukubwa wa hekari 40 na kuweka makazi yao kulipia gaharama za umilikishwaji ardhi ili waweze kupatiwa haki ya kumiliki eneo hilo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa eneo la Pugu Nyamwezi lenye ukubwa wa hekari 40 ambalo mmiliki wake ni Bibi Jeshri Rawel (kulia kwa waziri) ambaye anadai kuvamiwa na wakazi hao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...