Kutokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani zimekuwa zikisababisha baadhi ya nyumba zilizojengwa karibu na mito kuondoka na maji ya mvua kila mwaka kama unavyoona nyumba zilizojengwa katika kandokando ya mto kuanzia Ubongo, Mabibo, Kigogo na Magomeni nyumba. Picha na Chalila Kibuda wa Michuzi Media Group (MMG)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...