Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akishuhudia mchezo wa kutimiza ratiba kati ya Mabingwa wa Ligi Kuu ya
Vodacom Simba SC na Kagera Sugar ambapo Simba walifungwa bao 1-0 katika
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodaco kati ya
Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa
Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi
kombe la Ubingwa wa Ligi kuu ya Soka ya Vodacom kwa nahodha wa Simba SC
John Bocco baada ya mchezo wa kutimiza ratiba klabu hiyo ya Msimbazi na
Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar
es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na
viongozi wengine katika picha ya pamoja na timu ya Tanzania ambayo ni
Washindi wa Pili wa michuano ya dunia ya vijana wanaoishi kwenye
mazingira magumu ambapo Tanzania ilifika fainali na kufungwa bao 1-0 na
Brazil huko Urusi. Hii ilikuwa baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa
Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo
walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo
Jumamosi Mei 19, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine katika picha ya pamoja na timu ya Serengeti
Boys ambao ni mabingwa wa Kombe la vijana wa umri wa chini ya miaka 17
wa CECAFA wa baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya
Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo Simba walifungwa bao 1-0
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na
viongozi wengine katika picha ya pamoja waamuzi na wasimamizi baada
ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya
Simba SC na Kagera sugar ambapo Simba walifungwa bao 1-0 katika Uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi
wengine katika picha ya pamoja wachezaji na iongozi wa Kagera Suger
baada ya mchezo wao wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom
kati yao na Simba SC ambapo Kagera sugar walishinda bao 1-0 katika
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi
wengine katika picha ya pamoja na Klabu Bingwa ya Ligi Kuu Tanzania
Bara Simba SC baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya
Vodaco kati yao Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0
katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia
mashabiki wa soka mikono baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu
ya Soka ya Vodaco kati yao Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa
bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19,
2018. Picha na IKULU
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...