Na Leandra Gabriel, Blobu ya jamii

RAIS Mteule wa  Urusi Vladimir Putin wa Chama cha Independent  ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo baada ya kushinda Uchaguzi uliofanyika mapema Machi 18 mwaka huu.

Rais Putin anapata muda wa kuhudumu kwa mihula 4 zaidi, na amehudumu kama kiongozi wa Serikali kwa takribani miaka 18.

Katika uchaguzi huo Putin aliibuka na ushindi mnono wa zaidi ya asilimia 77 akiwamwaga Pavel Grudinin wa Communist party na Vladmir Zhirinovsky wa chama cha LDPR.Putin (65) alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuongoza Taifa hilo mwaka 2000.Ambapo alihudumu kwa mihula miwili na akachaguliwa kuwa waziri mkuu kwa muhula mmoja.

 Baada ya kiapo hiki  Vladimir Putin atahudumu  hadi 2024.
RAIS Mteule wa  Urusi Vladimir Putin 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...