Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za Kitakwimu yanayofanyika Jijini Dodoma kwa waandishi wa habari wakimsikiza Mtakwimu Mwandamizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bw. Stephano Cosmas akiwasilisha mada kuhusu hali ya malaria hapa nchini.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bw. Said Ameir akiwasilisha mada kuhusu faida za uandishi wa habari unaotumia takwimu.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za kitakwimu Bi Sharon Sauwa akisisitiza jambo wakati wa majadiliano ya washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za Kitakwimu yanayofanyika Jijini Dodoma .
Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bibi Beatrice Lyimo akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya uandishi wa habari za Kitakwimu yanayofanyika Jijini Dodoma .
Meneja wa Takwimu Idara ya Kodi Bw. Fred Matola akisisitiza kuhusu umuhimu wa takwimu wakati wa mafunzo ya uandishi wa habari za Kitakwimu yanayofanyika Jijini Dodoma kwa waandishi wa habari.
Mtakwimu Mwandamizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bibi Phausta Ntigiti akiwasilisha mada kuhusu faida ya lugha ya kitakwimu na takwimu wakati wa mafunzo ya uandishi wa habari za Kitakwimu yanayofanyika Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Takwimu ya Taifa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...