Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana  na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Anayesalimiana na Mhe. Spika ni Ndg. Sadiki Alli na wengine kutoka kushoto ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara na Ndg. David Mchaina.
 Spika wa Bunge  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza kushoto kwa Mhe. Spika ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara, Ndg. Sadiki Alli na Ndg. David Mchaina.
 Spika wa Bunge  akizungumza na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wa kwanza kushoto kwa Mhe. Spika ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Eng. Hussein Mzara, Ndg. Sadiki Alli na Ndg. David Mchaina.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na waliokuwa Wanafunzi wenzake wakati anasoma Shule ya Sekondari Kibaha, Mkoani Pwani walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza kulia ni Ndg. Jackson Kalikumtima, Ndg. David Mchaina na kutoka kushoto ni Eng.Hussein Mzara na Ndg. Sadiki Alli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...