Watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakimpongeza Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (kushoto) Dorothy Mwanyika akimpongeza Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Angeline Mabulla mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (kushoto) Dkt. Moses Kusiluka akimpongeza Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Angeline Mabulla mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
  Watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakiwapongeza Waziri wa Ardhi na Naibu wake mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19
 Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakimpongeza Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Angeline Mabulla mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
 Baadhi ya Makamishna wa Ardhi wa kanda 8 zilizopo nchi nzima kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (katikati) Dorothy Mwanyika akimpongeza Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi  mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo Sh73.07 bilioni kwa ajili ya mwaka 2018/19.
Picha zote na Hassan Mabuye, Wizara ya Ardhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...