Afisa Elimu na Huduma kwa walipa kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Afisi ya Zanzibar Abdallah Seif akiwasilisha mada ya Sheria za Kodi zinazoisimamiwa na Mamlaka hiyo katika mafunzo ya waandishi wa Habari ya kuwajengea uelewa wa Kodi yaliyofanyika Taasisi ya Utalii ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Maruhubi.
Waandishi wa Habari walioshiriki mafunzo ya Sheria za Kodi zinazosimamiwa na TRA wakimsikiliza Afisa Elimu na Huduma kwa walipa kodi wa Mamlaka hiyo (hayupo pichani) yaliyofanyika Taasisi ya Utalii ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar Maruhubi Mjini Mjini Zanzibar.
Meneja Msaidizi wa Ukaguzi wa Kodi wa TRA Afisi ya Zanzibar Mbarouk Khalid Ussi akijibu masuala ya waandishi wa Habari katika mafunzo ya kuwajengea uelewa wa Sheria za Kodi zinazosimamiwa na Mamlaka hiyo katika Ukumbi wa Taasisi ya Utalii ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar Maruhubi. PICHA NA RAMADHANI ALI - MAELEZO ZANZIBA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...