Wafanyakazi wa TIB Corporate Bank katika maadhimisho ya Mei Mosi leo jijini Dar es Salaam wakionesha bango lao lenye ujumbe wa kuhamsisha wananchi juu ya kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii kwaajili ya kulenga kuboresha mafao ya wafanyakazi ikiwa hiyo ndio kaauli mbiu yao katika kuadhimisha sikukuu ya Mei mosi kwa mwaka huu 2018.

Leo wafanyakazi kazi wa TIB Corporate Bank wamejiunga na wafanyakazi wote Tanzania katika kuadhimisha sikukuu ya Mei Mosi ambayo hufanyika kila mwaka kila ifikapo mwezi May 1.
TIB Corporate Bank wakinadi moja ya bidhaa mpya kabisa ya jipange inayowezesha kuwa na akaunti inayozaa riba kubwa na kukuwezesha kupata mkopo nafuu kwa haraka zaidi.
Wafanyakazi wa TIB Corporate Bank wakiwa jukwaani tayari kumsikiliza mgeni rasmi ktk maadhimisho ya siku ya wafanyakazi maarufu kama Mei mosi wakiwa katika uwanja wa uhuru jijini Dar es Salaam leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...