--
Kiongozi wa HDIF Tanzania , David McGinty akizungumza wakati wa kufunga Wiki ya Ubunifu iliyofanyika katika Ukumbi wa Costech Jijini Dar es Salaam
 Kiongozi wa HDIF Tanzania , David McGinty akitoa cheti kwa moja ya vijana walikuwa wakijitolea kutoa huduma kwa watu walifika katika wiki ya ubunifu iliyoandaliwa na HDIF kwa ushirikiano wa UKAID na Costech
 Mtaalamu wa Mawasiliano wa Shirika la HDIF Hannah Mwandoloma akipokea zawadi kutoka kwa moja ya Viongozi wa HDIF mara baada ya kumalizika kwa Wiki ya Ubunifu.
 Kiongozi wa HDIF Tanzania , David McGinty akizungumza jambo na sehemu ya wadau kutoka Mashirika Mbalimbali walioshiriki wiki ya Ubunifu
Sehemu ya Wanafunzi walioshiriki Wiki ya Ubunifu  wakifatlia kwa makini hotuba mbalimbali wakati wa kufunga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...