Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI linalojengwa katika Halimashauri ya Wilaya ya Simanjaro ,Mkaoani Manyara Mei 05, 2018.
Mganga Mfawidhi Hassan Ishabailu akitoa ufafanuzi wa huduma za afya zinazotolewa na Kituo cha Afya Mirerani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama alipozindua Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wakati wa Uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mei 05, 2018.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) Dkt. Leonard Maboko akifafanua jambo wakati wa mkutano na wananchi wa Simanjiro (hawapo pichani) mara baada ya uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na mmoja wa wagonjwa aliyekuwa akisubiri huduma za matibabu katika Kituo cha Afya Mirerani wakati wa Uzinduzi wa Jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mei 05, 2018
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akiwapongea baadhi ya wazazi waliojifungua katika Kituo cha Mirerani Mkoani Manyara wakati wa Uzinduzi wa Jengo la jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi yake anayeshughulikia Waziri Mkuu na Bunge Bi.Maimuna Tarishi wakati wa uzinduzi wa jengo la kutoa huduma za Matunzo na Tiba (CTC) kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI Mkoani Manyara.
Mbunge wa Viti Maalum Manyara, Mhe.Ester Mahawa akikabidhi msaada wa mashuka kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Mirerani kilichopo Wilaya ya Simanjiro kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...