Real Madrid CF imetangaza kwamba Julen Lopetegui atakinoa kikosi hicho cha kwanza kwa misimu mitatu ijayo.
Julen Lopetegui ataungana na timu hiyo baada ya michuano ya kombe la dunia, baada yakukinoa kikosi cha Hispania kwa miaka miwili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...