Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akiongoza kikao kazi cha Makamishna na Manaibu Kamishna wa Magereza Ofsini kwake leo Jumatatu 11, 2018 jijini Dar es Salaam. Jumla ya Maafisa 9 wa ngazi ya juu ya Jeshi la Magereza wamepandishwa vyeo hivyo hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kujaza nafasi mbalimbali zilizokuwa wazi ndani ya Jeshi hilo.
 Kamishna wa Fedha na Utawala wa Magereza, Gaston Sanga(wa kwanza kulia) akiwa na Makamishna wapya wa Jeshi hilo wakifuatilia kwa makini kikao kazi kilichoongozwa chini ya Uenyekiti wa Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(hayupo pichani), leo Jumatatu 11, 2018, Jijini Da es Salaam.
Manaibu Kamishna wapya wa Magereza waliopandishwa vyeo hivyo hivi karibuni na Mhe. Rais Magufuli wakifuatilia kikao kazi kilichoongozwa chini ya Uenyekiti wa Kamishna Jenerali wa Magereza nchini.
Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...