Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge wa Rombo Joseph Selasini, Bungeni jijini Dodoma, Juni 7, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Naibu Waziri TAMISEMI, Josephat Kandege, Bungeni jijini Dodoma Juni 7. 2018, katikati ni Mbunge wa Mpwapwa George Lubeleje. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Vunjo, James Mbatia, Bungeni jijini Dodoma, Juni 7. 2018. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akijibu maswali Bungeni jijini Dodoma Juni 7. 2018.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo, akizungumza na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe, Bungeni jijini Dodoma Juni 7. 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 7, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...