Mbunge
wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza baada ya kumaliza Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
Mmoja ya Wadau kutoka Tasisi ya K Innovates Nasra Kaseja akizungumzia umuhimu wa kuwasaidia watoto yatima wakati wa Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu kata ya Msoga.
Mshereshaji Masoud Kipanya akizungumza juu ya utaratibu na umuhimu wa kufutirisha makundi ya watu maalum katika kipindi hichi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mbunge
wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa ana swali
kabla ya Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watoto yatima Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
Mbunge
wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akipakuwa chakula wakati wa Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
Wadau wa Tasisi ya Ko Innoavate Pink Ijab wakiwa katika picha ya kabla ya Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu Msoga
Mbunge
wa Chalinze Ridhiwani Kikwete katikati akiwa na Wadau waliotoa Vifaa kwa ajili ya Watoto Yatima wakati wa Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na
Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu Msoga
Baadi ya wadau waliofika katika Iftar iliyofanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...