Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza baada ya kumaliza Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
 Mmoja ya Wadau kutoka Tasisi ya K Innovates Nasra Kaseja akizungumzia umuhimu wa kuwasaidia watoto yatima wakati wa Iftar iliyoandaliwa na  Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu kata ya Msoga.
 Mshereshaji Masoud Kipanya akizungumza juu ya utaratibu na umuhimu wa kufutirisha makundi ya watu maalum katika kipindi hichi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.  
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiwa ana swali kabla ya Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watoto yatima Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akipakuwa chakula wakati wa  Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.
 Wadau wa Tasisi ya Ko Innoavate Pink Ijab wakiwa katika picha ya kabla ya Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu Msoga
 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete katikati  akiwa na Wadau waliotoa Vifaa kwa ajili ya Watoto Yatima wakati wa  Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima Iftar  hiyo ilifanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu Msoga
Baadi ya wadau waliofika  katika  Iftar   iliyofanyika nyumbani kwa Rais Mstaafu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...