Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mawaziri, Wenyekiti wa kamati za kudumu za Bunge na Watendaji wakuu kutoka Serikalini (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Kamati ya uongozi kilicholenga kupokea Taarifa ya majumuisho yaliyofanyika kati ya kamati ya Bajeti na Serikali, kilichofanyika leo tarehe 13 Juni, 2018 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi kilicholenga kupokea Taarifa ya majumuisho yaliyofanyika kati ya kamati ya Bajeti na Serikali, kilichofanyika leo tarehe 13 Juni, 2018 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti na Mbunge wa Mtwara Vijijini, Mhe. Hawa Ghasia
 Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti  na Mbunge wa Mtwara Vijijini, Mhe. Hawa Ghasia (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri, Wenyeviti wa kamati za kudumu za Bunge na Watendaji wakuu kutoka Serikalini (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Kamati ya uongozi kilicholenga kupokea Taarifa ya majumuisho yaliyofanyika kati ya kamati ya Bajeti na Serikali, kilichofanyika leo tarehe 13 Juni, 2018 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Katikati  ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto), Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Phillip Mpango (kushoto) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, kazi, Vijana, Ajira na Wenye U​​lemavu, Mhe. Jenista Mhagama (kulia)
Baadhi ya Mawaziri na Wenyekiti wa kamati za kudumu za Bunge wakiwa  kwenye kikao cha kamati ya uongozi kilicholenga kupokea Taarifa ya majumuisho yaliyofanyika kati ya kamati ya Bajeti na Serikali, kilichofanyika leo tarehe 13 Juni, 2018 katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...