Mwanalibeneke wa Globu ya Jamii na Mtaa kwa Mtaa, Othmna Michuzi akiwa pamoja na baadhi ya mashabiki wa timu ya Mexico na Urusi, wakati wakiwa kwenye treni kuelekea kwenye uwanja wa Spartak, uliopo nje kidogo ya mji wa Moscow, nchini Urusi kunakofanyika michuano ya Kombe la Dunia. 
 Mshabiki wa timu ya Taifa ya Tunisia akiwa nje ya uwanja huo wakati alipofika kuishangilia timu yake ilipokuwa ikikipiga na timu ya Taifa ya Ubelgiji. japo walichezea kichapo cha bao 5-2 lakini shangwe zake zilikuwa hazielezeki.
 Furaha ya ushindi kwa mashabiki wa timu ya Ubelgiji.
 Uwanja huu siku hiyo ulichukua idadi ya washabiki kama inavyosomeka kwenye ule ubao.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...