Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Tigo, William Mpinga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa kampeni ya Tukio Kubwa Zaidi la Soka Duniani. Mashabiki wa soka sasa wanaweza kutazama mechi za Kombe la Dunia laivu kwenye simu zao za mkononi kupitia Star Times App na kupata dondoo muhimu za tukio kubwa zaidi la michezo kwa kupiga *147*00# au kwenye Tigo Sports Portal. Kulia ni Meneja wa Masoko na Matangazo wa StarTimes, David Malisa.
Meneja wa Masoko na Matangazo wa StarTimes, David Malisa akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa kampeni ya Tukio Kubwa Zaidi la Soka Duniani. Mashabiki wa soka sasa wanaweza kutazama mechi za Kombe la Dunia laivu kwenye simu zao za mkononi kupitia Star Times App na kupata dondoo muhimu za tukio kubwa zaidi la michezo kwa kupiga *147*00# au kwenye Tigo Sports Portal. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Tigo, William Mpinga .
Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Tigo, William Mpinga (kushoto) akikabidhiana mpira na Meneja wa Masoko na Matangazo wa StarTimes, David Malisa katika uzinduzi wa kampeni ya Tukio Kubwa Zaidi la Soka Duniani. Mashabiki wa soka sasa wanaweza kutazama mechi za Kombe la Dunia laivu kwenye simu zao za mkononi kupitia Star Times App na kupata dondoo muhimu za tukio kubwa zaidi la michezo kwa kupiga *147*00# au kwenye Tigo Sports Portal.   

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...