Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizinduaTaarifa ya Utekelezaji wa Sera ya Taifa
ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya Mei 2017 Mpaka Mei 2018 baada
ya kufungua Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
lililofanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma Juni 18, 2018. Kushoto
ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana,
Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama na kulia ni Mwenyekiti wa Baraza
la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dkt. John Jingu. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha Taarifa ya Utekelezaji wa Sera ya Taifa
ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya Mei 2017 Mpaka Mei 2018 baada
ya kuizindua katika Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
lililofanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma Juni 18, 2018. Kushoto
ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana,
Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama na kulia ni Mwenyekiti wa Baraza
la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dkt. John Jingu.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mhandisi, Salome Kabunda kutoka
TANROADS Tuzo ya Uwezeshaji Kiuchumi, baada ya TANROADS kuibuka mshindi
wa kwanza katika kundi la Wizara, Wakala na Idara za Serikali kwenye
Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililofunguliwa na
Waziri Mkuu katika ukumbi wa LAPF jijini Dodoma Juni 18, 2018. Kulia ni
Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dkt. John
Jingu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na baadhi ya viongozi walioshiriki katika Ufunguzi wa Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi wakipiga makaofi baada ya Waziri Mkuu kufungua Kongamano hilo kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma Juni 18, 2018. kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Profesa, Faustine Kamuzora, Meya wa jiji la Dodoma,Profesa Davis Mwamfupe, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dkt. John Jingu, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Beng'i Issa. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mku, Sera, Bunge, Kazi, Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama
(katikati) Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mku, Profesa Faustine Kamuzora
baada ya kufungua Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
lililofanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dodoma Juni 18, 2018.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...