Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
Mkurugenzi wa Shughuli za Kitakwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Mr. Irenius Ruyobya akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari walioshiriki katika warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) pamoja na Wahariri wa Vyombo vya Habari walioshiriki kwenye warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro.
(Picha Na Emmanuel Ghula)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...