Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Saleh Possi akiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Romania, Bw. Klaus Werner Lohannis Jumatano Julai 18, 2018 mjini Bucharest, Romania. Ubalozi wa Tanzania uliopo Berlin, Ujerumani, pia unahudumia maeneo mengine tisa ya uwakilishi, ikiwemo nchi ya Romania.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Saleh Possi akipeana mikono na Rais wa Romania Bw. Klaus Werner Lohannis baada ya wasilisha hati zake za utambulisho Jumatano Julai 18, 2018 mjini Bucharest, Romania.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Saleh Possi akipozi na Rais wa Romania Bw. Klaus Werner Lohannis baada ya wasilisha hati zake za utambulisho Jumatano Julai 18, 2018 mjini Bucharest, Romania.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Saleh Possi akiagana na Rais wa Romania Bw. Klaus Werner Lohannis baada ya wasilisha hati zake za utambulisho Jumatano Julai 18, 2018 mjini Bucharest, Romania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...