Wananchi waliofika katika Maonyesho ya Sabasaba wakipata huduma za kutoa pesa na kuweka katika Mobile Branch.
Wananchi wakipata huduma za kifedha katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya Sabasaba.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Lumumba, Pendo Assey (kushoto), akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Jessica Nyachiro, alipotembelea Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa 'Sabasaba'.

Wateja wa Benki ya CRDB wakijaza fomu kwa ajili ya kupata huduma.

Baadhi ya wateja waliofika katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa 'Sabasaba' wakipata huduma za kutoa na kuweka fedha kwa wakala wa benki hiyo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...