Wananchi wakipata huduma za kifedha katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya Sabasaba.
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Lumumba, Pendo Assey (kushoto), akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Jessica Nyachiro, alipotembelea Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa 'Sabasaba'.

Wateja wa Benki ya CRDB wakijaza fomu kwa ajili ya kupata huduma.

Baadhi ya wateja waliofika katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa 'Sabasaba' wakipata huduma za kutoa na kuweka fedha kwa wakala wa benki hiyo.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Wateja wa Benki ya CRDB wakijaza fomu kwa ajili ya kupata huduma.
Baadhi ya wateja waliofika katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa 'Sabasaba' wakipata huduma za kutoa na kuweka fedha kwa wakala wa benki hiyo.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...