Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Binilith Mahenge (kulia) akimkabidhi funguo za gari mshindi wa shindano la Vodacom Mpesa Aloyce Mnyamagola alilojishindia katika promosheni inayoendelea ya 'Tumia M-Pesa ushinde gari'.
Mshindi wa gari aina ya Renault Kwid kutoka Vodacom Mpesa, Aloyce Mnyamagola akifungua mlango wa gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Binilith Mahenge jijini Dodoma jana, wanaoshuhudia ni maofisa mbalimbali kutoka Vodacom
Mshindi wa Shilingi milioni 1ya shindano la Vodacom Mpesa Japhet Isaya Mkazi wa Hombolo Mkoani Dodoma akipokea hundi jana katika sherehe za kukabidhi zawadi kwa washindi wa Kanda ya kati zilizofanyika Jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...