Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na mwenzao kutoka nchini China wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo lililotobolewa katika paja (Catheterization) wa kuzibua mshipa wa moyo ambao haupitishi damu vizuri kwa kutumia mtambo wa Cathlab. Kwa mwaka huu wa 2018 madaktari watatu wametolewa na Serikali ya China kwaajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo. 
Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa bila kufungua kifua kupitia tundu dogo lililotobolewa katika paja (Catheterization) wa kuzibua mshipa wa moyo ambao haupitishi damu vizuri . 
Madaktari bingwa wa Upasuaji wa Moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka nchini China wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto mwenye umri wa miaka 13 wa kuziba tundu la moyo na kufungua njia inayopeleka damu kwenye mapafu. Kwa mwaka huu wa 2018 madaktari watatu wametolewa na Serikali ya China kwaajili ya kufanya kazi ya Matibabu ya Moyo katika Taasisi hiyo. 
Picha na JKCI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...