Sehemu ya Banda la Shirika la Nyumba la Taifa NHC Linavyonekana kwa nje kwenye Maoneshoi ya Biashara ya 42 Sabasaba yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Afisa Mauzo Mwandamizi wa shirika la Nyumba la Taifa NHC Joseph Haule akitoa maelezo juu ya kazi na miradi inayofanywa na shirika la nyumba katika Maonesho ya 42 ya biashara yanayoendelea  Jijini  Dar es Salaam.
 Ofisa kutoka shirika la nyumba la Taifa akionyesha moja ya nyumba za Ghrama nafuu zinazojengw ana shirika hilo katika Jiji la Dodoma.
 Sehemu ya watu waliofika kwa wingi katika banda la Shirika la nyumba kwenye Maonesho ya 42 biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Maharufu kama Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...