Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akimkabidhi kikombe cha ushindi wa jumla kipengele cha (Trade in Services Exhibitor) Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi leo. Mara baada ya kutangazwa washindi katika uzinduzi wa maonesho ya biashara ya kimataifa Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya TANTREADE Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi kushoto akiwa na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Leila Maingu na baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa maonesho ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi mara baada ya ushindi huo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...