pr01
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akimkabidhi kikombe cha ushindi wa jumla kipengele cha (Trade in Services Exhibitor) Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi leo. Mara baada ya kutangazwa washindi katika uzinduzi wa maonesho ya biashara ya kimataifa Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya TANTREADE Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
pr1
Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi kushoto akiwa na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Leila Maingu na baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa maonesho ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
pr3
Mkurugenzi wa Kampuni ya Property International Tanzania Bw. Masoud Alawi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi mara baada ya ushindi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...