Salaam Aleikum warahmatullah,
Kutakuwa na Muhadhara wa mawaidha ya Dini kutoka kwa Mashekhe wetu wa kutoka nyumbani, tunaombwa tuhudhurie na kuwajulisha wenzetu tupate kunufaika sote kutoka kwa Wahadhiri wetu:-
▪Sheikh Nurdin Kishki (Tanzania)
▪Sheikh Yusuf Abdi (Kenya)
▪Sheikh Ashraf Ndayisenga (Rwanda)
Address :-
Muslim Community Center (MCC) 
15200 New Hampshire Ave, 
Silver Spring, MD 20905

Kuanzia Saa Kumi Jioni hadi saa Nne usiku (4pm mpaka 10pm)
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:-
Ali Mohamed 301 500 9762
Shamis 202 509 1355

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...