Salaam Aleikum warahmatullah,
Kutakuwa na Muhadhara wa mawaidha ya Dini kutoka kwa Mashekhe wetu wa kutoka nyumbani, tunaombwa tuhudhurie na kuwajulisha wenzetu tupate kunufaika sote kutoka kwa Wahadhiri wetu:-
▪Sheikh Nurdin Kishki (Tanzania)
▪Sheikh Yusuf Abdi (Kenya)
▪Sheikh Ashraf Ndayisenga (Rwanda)
Address :-
Muslim Community Center (MCC)
15200 New Hampshire Ave,
Silver Spring, MD 20905
Kuanzia Saa Kumi Jioni hadi saa Nne usiku (4pm mpaka 10pm)
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:-
Ali Mohamed 301 500 9762
Shamis 202 509 1355
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...