Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA Bi. Rose Joseph akimsikiliza mmoja wa wananchi waliofika kwenye banda la mamlaka hiyo kwa ajili ya kujiandikisha na kupata kitambulisho chake cha taifa alipotembelea kwenye banda hilo katika maonesho ya biashara ya Sabasaba viwanja vya TANTRADE barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo. 
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye misururu mirefu wakipata huduma ya vitambulisho vya taifa katika banda la Mamlaka ya Vitambulisho NIDA kwenye maonyesho ya Sabasaba leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa NIDA wakiwapatia huduma ya vitambulisho wananchi waliotembelea katika banda hilo ili kupata vitambulisho vya taifa.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho NIDA wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kazi ya kutwa nzima wakihudumia wananchi kwenye maonesho hayo leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...