Big Boss: Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akiwa amebeba vikombe vya mshindi wa kwanza katika sekta ya bima (kushoto), na cha ushindi wa pili (kulia) katika washindi wa jumla miongoni mwa washiriki wa maonyesho hayo ya 42 ya sasasaba yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam
Waziri Mkuu Kasim Majaliwa, akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga kikombe cha mshindi wa kwanza katika sekta ya bima , NIC pia imekuwa mshindi wa pili katika washindi wa jumla miongoni mwa washiriki wa maonyesho hayo ya 42 ya sasasaba yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam
Vigogo NIC:Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Bima za Mali,Ajali na Shehena Romanus Hokororo,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NIC Thomas Msongole,Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Sam Kamanga na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko Elisante Maleko
Picha ya pamoja, wafanyakazi wa NIC waliosimama mbele na viongozi wao mstari wa nyuma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...